Friday, March 29, 2013

Neno la leo

Mt 10:38 “Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili”

TAFAKARI: Mtu yeyote ambaye hatatubu dhambi zake na kuacha yale yote maovu yamchukizayo Bwana, itakuwa vigumu kwake yeye kuuona ufalme wa mbinguni.
SALA: Bwana Yesu, tunajua ya kwamba msalaba ni mzito, lakini kwa neema na rehema zako tunaweza kuubeba pamoja na wewe, ili kwamba tuonekane wenye haki ndani yako. Kwa jina lako takatifu tunaomba na kupokea, Amen.

 

No comments:

Post a Comment