Wednesday, December 26, 2012

I loove this song!

Everyone needs compassion...

Neno la leo

“2Wakorintho 3:14 ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi wakati lisomwapo Agano la kale, utaji uo huo wakaa, yaani haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo”.

TAFAKARI: Akili ikifungwa mtu haoni ugumu wa dhambi. Kwa maana hiyo huo ni Upofu wa mawazo na hivyo kumfanya mtu ashindwe kufanya maamuzi yoyote.
SALA: Mwenyezi Mungu, nakuja mbele zako nikinyenyekea na kukuomba utakase ufahamu wangu niweze kufikiria na kuyafanya yale yakupendezayo. Katika jina la Yesu naomba na kupokea, Amen.