Friday, March 22, 2013

Neno la leo

Lk 10:3 “Enendeni, angalieni, nawatuma kama wana kondoo kati ya mbwa-mwitu”

TAFAKARI: Tumetumwa na Mungu kutenda mambo yaliyo mema kwa unyenyekevu katika ulimwengu huu wa sasa ambao una kila aina ya vurugu. Na yeye anaahidi kuwa nasi popote pale tutakapokutana na vikwazo. Yeye hawezi kumtuma mtu mahali ambapo hatakuwepo, kwa maana kwamba amekwisha tangulia mahali hapo.
SALA: Bwana Yesu, tunaomba ulinzi wako ili tuweze kujiamini hata pale tunapokumbana na vikwazo vingi.Katika jina la Yesu tunaomba na kupokea, Amen.

 

No comments:

Post a Comment