Monday, February 4, 2013

Neno la leo

Luka 11:28 “Lakini yeye alisema afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika,”

TAFAKARI: Imetupasa kumwogopa Mungu na kumheshimu,na tusiwakasirishe wazazi wetu, ila tuwatumikie, tuwatii na kuwapenda kwa moyo wote.

SALA: Mwenyezi Mungu, asante kwa upendo wako kwangu, Wewe uliye mzazi wangu wa kwanza nakupenda na naliheshimu neno lako, niwezeshe nizidi kuwaheshimu wazazi wangu ulionipa wewe na wakubwa wangu, katika jina la Yesu naomba na kupokea, Amen.

 

No comments:

Post a Comment