Monday, February 18, 2013

Neno la leo

Zab 55:22 “Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemea, Hatamwacha mwenye haki aondoshwe milele”

TAFAKARI: Ukuu wa Mungu ni mkubwa sana, hakuna chochote kitakachoweza kufananishwa naye.Mueleze shida zako naye atakutendea mema.
SALA: Mungu wangu na Baba yangu, nashindwa kuelezea ukuu wako kwa jinsi ulivyo mkubwa. Maisha yangu yamebadilika kutokana na matendo ya ajabu uliyonifanyia. Wewe mwenye haki nitakushukuru siku zote za maisha yangu na najiachia kwako daima. Naomba na kupokea katika jina la Yesu, Amen.

No comments:

Post a Comment