Thursday, February 21, 2013

Neno la leo

Mt 8: 22 “Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao

TAFAKARI: Katika hadithi hii kitu cha kwanza tunachotakiwa kufanya ni kuskia sauti ya Mungu na kufwata yale anayotuelekeza, na mengine yatakuja baadae. Si rahisi kufanya hili kama hujajitoa na huna hofu ya Mungu.
SALA: Bwana Mungu, tuwezeshe na utupe sikio la kusikia ili tufuate sauti yako ya upendo pindi pale unapotuamuru kufanya kazi yako, kukufuata na kutupa maagizo ya kukutumikia wewe. Katika jina la Yesu tunaomba na kushukuru, Amen.

No comments:

Post a Comment