Tuesday, February 12, 2013

Neno la leo

Isa 59:1 “Tazama mkono wa Bwana haukupunguka, hata usiweze kuokoa wala sikio lake si zito, hata lisiweze kusikia”

TAFAKARI: Mungu wetu anasikia pale tumuitapo. Mkono wa Bwana ukikugusa kamwe hutapungukiwa na kitu. Muelezo shida zako, furaha yako naye atakuwa pamoja nawe kwa kila kitu.
SALA: Bwana Mungu nakuja kwako kwa unyenyekevu kabisa nikiomba mkono wako wa baraka usinipungukie. Wewe utendaye miujiza kwa wengi, naomba usinipite Bwana kwa maana nakuhitaji sana. Sikiliza kilio cha moyo wangu Bwana na ukanibariki sawa sawa na mapenzi yako. Katika jina la Yesu naomba na kupokea, Amen.

 

No comments:

Post a Comment