Wednesday, January 9, 2013

Neno la leo

Zab 23: 5 “Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu na kikombe changu kinafurika”
TAFAKARI: Bwana Mungu wetu atapigana kwa ajili yetu na kutuweka huru. Juu ya yote vikombe vyetu vitajaa upendo wake na wema wake kwetu sisi.
SALA: Mungu wetu na baba yetu, asante kwa kuwa umeniokoa, asante kwa maana umeniandalia meza mbele ya watesi wangu na umenipaka mafuta kichwani mwangu. Naomba mafuta haya yanitakase na kuniangazia nuru ya uso wako siku zote za maisha yangu. Katika jina la Yesu naomba nikipokea, Amen.

Mbarikiwe

No comments:

Post a Comment