Wednesday, April 3, 2013

Neno la leo

2The 3:5 “Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na saburi ya Kristo”

TAFAKARI: Ni vizuri kufuata muelekeo mzuri na kuendenda katika zile njia Bwana anatuongoza.Tusichezee mioyo yetu katika kufanya mambo ambayo yanahatarisha na si ya kumpendeza Bwana.Tumuombe Mungu tuzidi kukua katika imani
SALA: Bwana Mungu naomba niwezeshe niendelee kuwa kwenye muelekeo unaotaka niwepo.Nisaidie nisiingie kwenye majaribu ya kuabudu miungu mingine bali wewe. Katika jina la Yesu naomba na kupokea, Amen.

No comments:

Post a Comment