Thursday, December 6, 2012

Mstari wa Leo

Waebrania 10:23"Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu"

Shida za duniani zisikufanye ukageuka nyuma na kumwacha Mungu, yeye ameahidi na kwa kuwa ni mwaminifu ni kweli atatenda. Aliahidi atatenda mtumaini yeye.
Ubarikiwe!

No comments:

Post a Comment