Friday, November 30, 2012

Mstari wa Leo


Yeremia 31:3
BWANA alinitokea zamani, akisema, Naam, nimekupenda kwa upendo wa milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa fadhili zangu.
Mungu anakupenda ndiyo maana unaishi mpaka leo hii. Upendo wake kwetu sisi hauna kikomo. Naamini ni kwa ajili ya upendo wake kwangu na fadhili zake nyingi zinazonifanya niendelee kuishi mpaka wakati huu. Ukimwamini na kumtumaini yeye hakika utaelewa upendo wake juu yako.

No comments:

Post a Comment