"Kwa maana nitamimina maji juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji ya mahali pakavu, nitamwaga roho yangu juu ya wazao wako na baraka yangu juu yao utakaowazaa" Isaya44:3
Sote wanafamilia tumefurahi kupata habari hizi za ujio wa mgeni Brandon Willness Adhero. Hakika Mungu ni mwema na tutazidi kushangaa matendo yake kwetu sisi hasa ya uumbaji wake. Mungu awatunzie vijana wenu wakue katika misingi ya Kikristo. Awaongoze, awape busara na hekima katika kuwalea na kuwakuza Brandon na kaka yake Austin.
Nasi wanafamilia tunamuomba Mungu nae atuongoze kuwasaidia watoto hawa pale tuwezapo kimawazo katika hatua mbali mbali watakazopitia kimaisha mathalani katika kazi zao za shule na katika kukua kwao katika misingi ya Kristo wetu.
Bwana Mungu awaangazie nuru ya uso wake popote muendapo na katika lolote mfanyalo.
Brandon amezaliwa November 6, 2012!
Karibuni katika blog hii, mahali ambapo utajifunza kuishi na kuenenda katika njia ya Kikristo na kusaidiana kukua kiroho kwa kusoma na kufundishana neno la Mungu. Ni matumaini yangu kwamba kila mmoja wenu atabarikiwa.
Wednesday, November 7, 2012
Monday, November 5, 2012
Such an inspiring message!
Thought I should share this message with you... Hope u will get something out of it!
The song "IT IS WELL WITH MY SOUL" was written by a successful Christian lawyer.He had two girls and a wife, and the family planned a summer trip to go overseas. Since he had a lot of work to do, he sent his family and decided to follow them later. He heard the news while on the following ship that another ship has capsized and he knew that his family was there since they mentioned the name of the ship. On His return home, his Law firm was burned down and the insurance refused to pay, they said "ITS AN ACT OF GOD". He had no money to pay for his house and no work, he also Lost his house. Then while sitting and thinking what's happening to him,being a spiritual person, he wrote a song - whatever my Lord, you have Taught me to say - IT IS WELL, IT IS WELL WITH MY SOUL. My dear friend, a good attitude will determine your altitude. When you look at your life, career, job or family life, what do you say? Do you praise God? Do you blame the devil? A good attitude towards God makes Him move on your behalf. Just sit down & say, Today God , it is well with my soul , I am thankful I had a peaceful sleep , I am thankful I am alive with possibilities , I am thankful I have a roof over me , I am thankful I have a job , I am also thankful that I have Family and Friends. Above All, I AM thankful that I have the lord Jesus Christ on my side.Be blessed. And please don’t be envious or shocked when others are prospering, because you don’t know what they have been through to get there (test, trials and tribulation) so thank God for what you have."Little is much when God is in it IT IS WELL WITH MY SOUL AND YOU?
The song "IT IS WELL WITH MY SOUL" was written by a successful Christian lawyer.He had two girls and a wife, and the family planned a summer trip to go overseas. Since he had a lot of work to do, he sent his family and decided to follow them later. He heard the news while on the following ship that another ship has capsized and he knew that his family was there since they mentioned the name of the ship. On His return home, his Law firm was burned down and the insurance refused to pay, they said "ITS AN ACT OF GOD". He had no money to pay for his house and no work, he also Lost his house. Then while sitting and thinking what's happening to him,being a spiritual person, he wrote a song - whatever my Lord, you have Taught me to say - IT IS WELL, IT IS WELL WITH MY SOUL. My dear friend, a good attitude will determine your altitude. When you look at your life, career, job or family life, what do you say? Do you praise God? Do you blame the devil? A good attitude towards God makes Him move on your behalf. Just sit down & say, Today God , it is well with my soul , I am thankful I had a peaceful sleep , I am thankful I am alive with possibilities , I am thankful I have a roof over me , I am thankful I have a job , I am also thankful that I have Family and Friends. Above All, I AM thankful that I have the lord Jesus Christ on my side.Be blessed. And please don’t be envious or shocked when others are prospering, because you don’t know what they have been through to get there (test, trials and tribulation) so thank God for what you have."Little is much when God is in it IT IS WELL WITH MY SOUL AND YOU?
Sunday, November 4, 2012
Saturday, November 3, 2012
UMUHIMU WA KUWA NA MAONO
Kwanza kabisa nianze kwa
kutoa maana ya maono ni fikra za kinjozi ama mtu mwenye uwezo wa kuona mbali.
Ama ni ile hali ya kitu au tukio lionekanalo kwenye akili lakini kiuhalisia
halipo. Kwa lugha ya kizungu naweza kusema a Vision is an experience in which a
personage, thing or event appears vividly to the mind although not actually
present, often under the influence of a divine or other agency. Simply it is a
picture you have in mind that is going to happen.
Ni muhimu kuwa na maono
kwa maana maono husaidia mtu ajue anachotaka kufanya na kwa wakati gani. Vile
vile ni muhimu kwa sababu maono hutoa taarifa katika maisha ya kila siku ya
mwanadamu ni jinsi gani anaweza kuepuka na jambo lolote ama atafanikiwaje
kuhusiana na maono yake.
“Pasipo maono watu huacha
kujizuia, bali ana heri mtu Yule ashikaye sheria” Mithali 29:18
Maono yako lazima yawe clear tofauti
na ndoto. “Wasiuone mwili wake wakaja wakasema ya
kwamba wametokewa na malaika waliosemakwamba yu hai” Luka 24:23. Maono
ni yale yanayotabiri mambo yatakayotokea baadae tofauti na ndoto. Mara nyingi
ndoto ni accumulation ya mawazo mtu awazayo kwa siku na akilala akaota mambo
yafananayo na hayo. Kwa kufanya hivyo hayo si maono, kwa sababu maono yanaweza
kutokea wakati wowote iwe mchana ama usingizini.
Ukiangalia katika kitabu cha Waamuzi
mlango wa kumi na tatu pale Malaika wa Bwana alivyomtokea Yule mwanamke tasa na
kumwambia atachukua mimba na atamzaa mtoto mwanamume. Ni moja ya mfano wa maono
ambayo yako wazi kabisa tofauti na ndoto. “Kwani tazama
utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanamume na wembe usipite juu ya kichwa
chake maana mtoto huyo atakuwa mnadhiri wa Mungu tangu tumboni, naye ataanza
kuwaokoa Israeli na mikono ya wafilisti” Waamuzi 13:5
Lakini vile vile ndoto zinaweza kuwa
maono mfano mtu anaweza ota anapandishwa cheo lakini wafanyakazi wengine
wanapinga jambo hilo na kutaka afukuzwe kazi. Maana ya ndoto kama hiyo jua ya
kuwa kuna jambo zuri litatokea katika sehemu yako ya kazi lakini kutakuwa na
vipingamizi. Yakupasa kuliombea jambo hilo na kukataa roho hizo za chuki juu ya
mafanikio yako.
“Bwana akanijibu akasema,
Iandike njozi uifanye wazi sana katika vibao ili aisomaye apate kuisoma kwa
maji. Maana njozi hii bado ni wakati ulioamriwa inafanya haraka ili kuufikilia
mwisho wake wala haitasema uongo, ijapokawia ingojee kwa kuwa haina budi kuja,
haitakawia” Habakuki 2:2-3
AINA ZA MAONO
·
Personal
Vision: Lazima ujue nini unataka katika
maisha.Kwa mfano unataka mahusiano yako yaweje iwe umeolewa ama la. What kind
of legacy you want your marriage to leave behind? Kwa haraka haraka jiulize
mwenyewe nini maono yako kuhusu kipato chako? Pengine unataka uwe
mfanyabiashara maarufu ama mkandarasi na hujui jinsi tu ya kufikia malengo yako
hayo ya kuwa mfanyabiashara maarufu. Wapo marafiki watakudiscourage kwa kila
utakachofanya kwa ajili ya maendeleo yako. Na kama unataka kuendelea never fear
about what others will talk about you. Na kama mpaka sasa hujui your personal
vision you better find out soon as time is not on your side. Ni muhimu kujua
Mungu anataka uwe nani katika maisha yako.
·
Maono
ya familia/Family vision: Kwa mfano wewe
umeoa/olewa, sasa mkiwa kama mke na mume yaani familia moja ni nini vipaumbele
vyenu kwa maisha mapya mliyonayo? Katika tamaduni zetu za kiafrika familia ni
muhimu sana. Na kwetu extended families zinapewa umuhimu na hata mara nyingine
zinazidi familia za karibu yaani baba, mama, watoto. Na kama mtu utakuwa
hujajua jinsi gani ya kuendesha maisha yako kama mtu na mume utajikuta hakuna
maendeleo kwa sababu vipaumbele vyako vitakuwa juu ya watu wengine ama nisema
ndugu instead of your immediate family.Mfano kuishi nchi za ugenini mathalan US
kumefanya sense ya family kupotea na kuanza kuwa individualism. Yaani a family
entails Baba, Mama na watoto. Ndugu wengine wanasahaulika huko majumbani na
ndiyo maana watu wengine hupata lawama huyu ndugu yetu kabadilika sana hata
hasaidii ndugu zake walioko TZ na mambo kama hayo.
Lakini tutambue kwamba
Biblia inasema mtu atamuacha Baba na Mama yake ataambatana na mkewe. We should
not make our descions basing on what our parents want. Hii haimaanishi kuwa uwadharau
unaweza endelea kuwatafuta kwa ushauri lakini jua ya kwamba your immediate
family ni mke na watoto wako. Lakini pia hii isiwe sababu ya kukuzuia kusaidia
ndugu.
·
Ministry
vision:- Unamfanyia nini Mungu? Lazima ujue
maono yako katika kumfanyia kazi Mungu. Pengine wewe maono yako ni Mchungaji,
ama sister. Ama maono yako wewe ni kusaidia maskini kama Kornelio alivyokuwa
anatoa sadaka kwa maskini (soma zaidi Matendo ya mitume
10:9-30). Pia soma Waamuzi 13:2-24 na pia Kitabu cha Daniel kwa ufunuo zaidi
juu ya maono.
Mungu awabariki!
Thursday, November 1, 2012
SIKU YA WATAKATIFU
Leo ni sikukuu ya Watakatifu wote. Tunaitumia siku hii kuwakumbuka wapendwa wetu waliotwaliwa na Mwenyezi Mungu. Kipekee namkumbuka Mama yangu mpendwa Mariam Jambia na my little brother Adam. There are times I just wish you are here by my side. I have so many things to share with you Mum. Thank you for shaping me into a person who I like and proud to be. Let me tell you something, you know I'm now married to a wonderful husband most women would wish to have. He is a great person and I thank God for having him. I'm sure if you have had a chance to meet him you would have agreed with all kind of praises about him. On that same day of our wedding, I looked up to see if you can give me a hand in applying my last last make-up before entering the Church. I remember you whispered into my ears, "Kisura wangu I'm not good in make-ups, you know how natural I am". Let me just fix your hair. I felt your hand in my hair and that is when I knew you were besides me all along. Words cannot express how much I miss you dear Mother. You were the greatest thing could have ever happened to me. Not a day goes by without thinking about you especially now when I want to enjoy this good life with you. But I thank God for everything, and I'm proud to be called the daughter of Mariam Jambia. May the almighty God continue to rest your souls in eternal peace.
Also nawakumbuka wakwe zangu Mr & Mrs Willness Lyimo. Always mnakumbukwa na watoto wenu (Jackson, Anitha, Linda, Steve & Manny), wakwe zenu (Dennis, John and Myself), wajukuu (Brianna Lyimo, Austin Adhero, Isaac & Aaron William Rweikiza), ndugu, majirani na marafiki zenu.
My late sis in law Glory Lyimo you were one of a kind. I remember when you were in your A-level studies at Kibosho girls secondary school, I used to admire you so much and your friends sis Maria, Nelly, Chegy and many more. You were full of fun. How ironic life can be, who would have thought I will become one of the members in your family? We live in such a small world, look at me now I'm called Mrs Jackson Lyimo.
We always pray for you guys and that our living God continue to rest your souls in peace. We love you all and forever will be in our thoughts.
Tunawaombea pia Ndugu, jamaa na marafiki zetu wengine waliotwaliwa na Mungu wapumzike kwa Amani.
Amen!
Also nawakumbuka wakwe zangu Mr & Mrs Willness Lyimo. Always mnakumbukwa na watoto wenu (Jackson, Anitha, Linda, Steve & Manny), wakwe zenu (Dennis, John and Myself), wajukuu (Brianna Lyimo, Austin Adhero, Isaac & Aaron William Rweikiza), ndugu, majirani na marafiki zenu.
My late sis in law Glory Lyimo you were one of a kind. I remember when you were in your A-level studies at Kibosho girls secondary school, I used to admire you so much and your friends sis Maria, Nelly, Chegy and many more. You were full of fun. How ironic life can be, who would have thought I will become one of the members in your family? We live in such a small world, look at me now I'm called Mrs Jackson Lyimo.
We always pray for you guys and that our living God continue to rest your souls in peace. We love you all and forever will be in our thoughts.
Tunawaombea pia Ndugu, jamaa na marafiki zetu wengine waliotwaliwa na Mungu wapumzike kwa Amani.
Amen!
Tuesday, October 30, 2012
Natembea na Mungu
"Basi jueni ya kuwa BWANA, Mungu wenu, ndiye Mungu; Mungu mwaminifu, ashikaye agano lake na rehema zake kwao wampendao na kushika amri zake, hata vizazi elfu." Kum 7:9
Monday, October 29, 2012
Zaburi ya leo
Zaburi 35: 4-5 "Waaibishwe, wafedheheshwe wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma wafadhaishwe wanaonizulia mabaya. Wawe kama makapi mbele ya upepo, Malaika wa Bwana akiwaangusha chini"
Subscribe to:
Posts (Atom)